call him simba
Ally k kwa pozi a.k.a king kibaMESEGE KWA ALLY KIBA NA DIAMOND
Kwanza nipende kuwapongeza chibu dee na ally k fo real kazi nzuri mnayofanya hususani kulitangaza taifa letu everybody knows u kua mnatokea Tanzania na pia mungu kawabariki sauti,vipaji,na vipawa vingne mlobarikiwa lakini kitu kikubwa kinachoniumiza mimi kwann ampatan ampendani kutwa kupigana midongo ambvyo si kitu poa kabisa.
mimi kamaa shabiki wenu naumia kuona vijana wa nchi moja mnatifuana kwenye mitandao nakumbukeni tu kuna mashabiki ambao atutak kuwa na side wala team so tukiwaona mnaparuwana amptani tunaumia sana kiukweli cz iwish siku moja mkae meza moja mshare ideas af mfanyee bonge la colabo itakua poa sana sababu wote ni wakali mnajua mnachokifanya haswaa kwenye mziki wa bongo flevar,oky bila ya kusahau jana mmetoa ngoma au siyo yeea ni noma mmetisha nyimbo kal sana audio na videos zenu ally kiba ume act na yule dada vizur yaan kma kweli alikua akikuseduce vile nice kichupa na kwa diamond nmependa kila ktu siyo kwa mauno yale uku ukiwa unakata mbaoo .
nawapenda xna kwa kazi zenu nzuri nasi vinginevyo xo pigeni kazi vijana wa Magufuli
by : Olgertz
No comments:
Post a Comment