hamisa na vibweka vyake vya insta anakwambia bado yupo nae ahaha anaimb kwa raha zake et wakikutia doa atakupaa jiki na anaijuaje kuuimba wimbo mpyaa wa Beka uwoo ambae alifnya vyema sana kwenye libebe.
olger tz ni blog ya kuhusu habari zote za ulimwenguni hapa utaelimika utaburudika na kunufaika na mambo mbalimbali ! ungana nasi kwa habari za kitaifa,kimataifa ,michezo bila ya kusahau habari za wasanii ,visa na mikasa na kadharika!!
No comments:
Post a Comment