mama ake zari aaga dunia - Olgertz
TANGAZA NASI HAPA

Breaking News

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA

Saturday 22 July 2017

mama ake zari aaga dunia


Zari Hassan kushoto na marehemu mamake kulia
Zari Hassan anaomboleza kifo cha mamake miezi miwili tu baada ya kumzika aliyekuwa mumewe Ivan Ssemwanga.
Kulingana na gazeti la daily nation nchini Kenya. Mfanyibiashara huyo ambaye ni mke wa msanii wa bongo Diamond Platinum alithibtisha kifo cha mamake Halima Hassan ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 58 asubuhi ya Jumatano.
Gazeti hilo limesema kuwa mfanyibiashara huyo alithibitisha habari hiyo ya kifo kupitia mtandao wake akichapisha picha ya marehemu mamake na kutangaza habari hizo

No comments:

Post a Comment