Nimetokwa na vidonda sehemu za siri vinanitesa mwenzenu sana sina raha na dunia - Olgertz
TANGAZA NASI HAPA

Breaking News

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA

Wednesday 26 July 2017

Nimetokwa na vidonda sehemu za siri vinanitesa mwenzenu sana sina raha na dunia




Naitwa Beatrice francic chekibula mwenyeji wa TaNGA ila asaivi naishi dare s salaam nasumbuliwa na vidonda sehemu za siri vilianza kama kipele kimoja kikambatana na muwasho nkawa najikuna vikaja kuwa vingi na kunipa maumivu makali hata usiku sipati usingizi  kutokana na maumivu nayopitia hivi sasa ni mwaka wa3 tangia ili tatizo linianze.
Nateseka sana hospital ni nyingi  nimeshazunguka sana nkaenda  mpaka OCEAN ROAD  wamenambia niende nkukata nyama nilishindwa kutokana hali yangu ngumu kwani nliambiwa nipeleke 80000 ili nifnyiwe vipimo kutokana na uwezo sina sijaweza kurudi tena Ocean road ,vidonda vipo chini kabisa kiasi ambacho ata kupata haja nishida tabu mateso kutokana na maumivu nayopata.
Aliyekua mume wangu kanikimbia  kwasababu ya shida yangu nkimpigia simu anipokelei  na sanyingine ananiuliza nimsahau nini?  Au una ahadi gani na mimi?tuloahidiana anisaidii kwa lolote lile na kapata mwanamke mwingine ambae wapo wote wanaishi pamoja.na nimejaliwa kupata  watoto 2 wakwanza wakike wapili wakiume lakini msaada wangu huyu mdogo ambae wakiume.
Maumivu haya yananifanya na meza DICLOPA 4 kwa mpigo ili nipunguze maumivu  lakini havisaidii chochote  kutokana na haya maumivu naweza nkakaa siku3 sili hapa unavoona nakaliya mgongo na si makalio sababu siwezi kukaa kitako kwa jinsi navosikia maumivu .kama hapa kodi yanyumba i nadaiwa ndugu zangu nao nikiwaomba msaada wananiambia hali ngumu  hiyo pesa awana ndonajikuta na baki na mateso yangu.
Kwani apo zamani mimi ndolikua mtafutaji kwa wanangu nilikua nafanyakazi kwenye company ya bora,ataivo nilivopata shida iyapa sikuwai kwenda kutoa  taarifa kiwandani bora  kwani nauli ilikua kikwazo unajikuta hiyo hela ya nauli ni vema upike chakula ule na watoto.
Nawaomba watanzania wanisaidie kwani sina uwezo wakwenda hosptali kujitibia  tu shida kwani mwanangu mdogo ndie tegemeo langu natamani  na mim nipone nirudi kwenye hali yangu ya zamani ili nisaidiane na mwanangu huyu mdogo si mdogo kiivo ivi sasa ana umri 18 ndo hakikishe nipate ugali nawaombeni sa ndugu zangu  mnisaidie kwani sina msaada wowote ule sibagui mimi mwenye chochote napokea kwani nateseka sana.

No comments:

Post a Comment