ngumiii ndani ya bungee tena wametwangwana makondee si kitoto tena wanazichapa mtu kati kabsa uuulalalala nimechekaje si kwa kuminywa uku baba huyu tena wamgombaniaa wengne wanavuta mguu sjui kma ajatoka mgonjwa apooh
hawaa nao wanazipangaaa livee bila chenga yaani kungfu,boxing,martial art umuumu wanajikuta wakina floyd mywethear na Mcgoegory
ahahaha noo coment ebu check wakiminyana hapa ahaha huyu apo ch6ini cjui ndo anakidomodomo sanaa na mama hapo apo pembenii veepWabunge Uganda wakigombana ndani ya ukumbi wa bunge baada ya kupishana kuhusu muswada wa marekebisho ya katiba, kipengele cha umri wa Rais.
No comments:
Post a Comment