nimekuekea picha za wadogo zetu wa Lucky Vincent walionusurika katika Ajali Haya ni Mahafali yao - Olgertz
TANGAZA NASI HAPA

Breaking News

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA

Saturday 9 September 2017

nimekuekea picha za wadogo zetu wa Lucky Vincent walionusurika katika Ajali Haya ni Mahafali yao


Wanafunzi manusura wa ajali ya basi la Wanafunzi wa Lucky Vincent iliyotokea May 6, 2017, Karatu na kupoteza maisha ya wanafunzi 32, walimu 2 na dereva leo September 9, 2017 wamefanya mahafali.
Watoto hao ambao ni Sadia, Wilson na Doreen wamefanya mahafali leo ikiwa ni baada ya takribani siku 123 tangu walipopata ajali kisha kupelekwa Marekani kwenye matibabu na kurejea nchini August 18, 2017.







                                                
                            Source :  Millard Ayo

No comments:

Post a Comment