Picha: za Tetemeko la Ardhi lilotokea nchini Mexico yapata watu 6 Wamefariki dunia - Olgertz
TANGAZA NASI HAPA

Breaking News

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA

Friday 8 September 2017

Picha: za Tetemeko la Ardhi lilotokea nchini Mexico yapata watu 6 Wamefariki dunia

Tetemeko kubwa la ardhi laikumba MexicoTetemeko kubwa la ardhi la nguvu ya 8 katika vipimo vya richa limekumba pwani kusini mwa Mexico.
Kitovu cha tetemeko hilo lilitokea umbalia wa karibu milomita 100 kuisni magharibi mwa mji wa Pijijiapan katika kina cha kilomita 35, kwa mujibu wa idara ya hali ya hewa ya Marekani.
Onyo la kutoea tsumani limetolewa nchini Mexico, Guatemala, El Salvador, Costa Rica, Nicaragua, Panama na Honduras.
Vifo vinne viliripotiwa katika jimbo la Chiapa nchini Mexico karibu na kitovu na vingine viwili katika jimbo la Tabasco.

Tetemeko kubwa la ardhi laikumba MexicoTetemeko kubwa la ardhi laikumba MexicoPicha katika mitandao ya kijamii zilionyesha nyumba zilozokuwa zimeporomoka katika mtaa wa Oaxaca na Jichitan ambapo ikulu ya manispaa iliharibiwa kabisa.Tetemeko kubwa la ardhi laikumba Mexico

No comments:

Post a Comment