NB:vigezo ufupi,wembamba ndo maana ya udogo kiumbo
Diamond Platnum
dearz hivi kuna mtu asyemjua baba tee kweli mtoto wa tandalee mwenye maufund ya ajabu katik musik career yake yeye ni game changer katika bongo flevaa mzee wa matuzo mingimingi mhh yes ni anamwili mdogo ilaa mambo yake sas si yakitoto si kwa hiz voice,talent,hustlez wen it came to money na kashafanya makubwa mengi internationaly.
Vanessa Mdee
oky now we have V-money V-Pesa thiz gaal is Amaizing Absolutely Amaizing for sure you understoond what um talking about when she become a super duppa singer she start with hosting on Radio/TV in there alijibebea a numberz of fun kwajil tu ya her Voice mana without any comment dada ana sauti tamuu huyu nyimbo ilo mtambulisha ktk game ni closer tukitupilia mbali uimbaj wake pia analebo ya musik inayojulikana Mdee Music lakin dnt foget vanessa Anajua kujipigilia vema katika fashoon kwa vivaz matatrataaaah yeez vanessa anasimama katik my category ni true anamwil mdgo lakini mambo yake makubwa aatiii.

JOTI
Kaka mkubwa yeye ni comedian ambae alianzia ku act kupitia kikundi cha mambo hayoo long time kitamboo ambapo kipaji chake kilipataa kupenyaa zaidi kwenye macho ya watu katika kundi la ze comedy hapa tulipata kumfahamu wo iz jotiiii kaka uyuu ni moto naeza sema wa kuotea mbalii huyu ni undefined person katika career yake mara atakuja kajifanya mwanamke,babu,mtoto ama mwanafunzi na anavoziwezea sasa,Anafanya vizur ktk sana katik kazi yake ndomana nkasema joti yupo katika watu wadogo dogo ivi lakini mweh mambo yake sas right now anapiga mpunga frsh katika matangazo mbalimbali
😁😁 buti la joti umelionaah😆😆
SALAMA JABIR
our own sister katika industry ya Utangazaji call her Acejay katika social network na yeye kadondokea hapa ni mfupi af anajikubali sana kama yeye ni mfupi lakin zaidi ni kichwa sana bonge la creator wa vipindi vya media haswaa MKASI kipindi hiki kilimzolea umaarufu wa Aina yake ya the way anavoflow katik utangazaji wake sihivyo tuu alikua judge wa Bongo Star search {BSS} ilaa mdada huyu kanifikisha kwa 100% kufikisha game ya bongo flevar ku

NANDY

mtoto flani hivi wakiparee sauti mwrororoo ata kasuku anaubiri tokea TZ huyu guyz tunamwoona si msanii mkubwaa kihivyo lakin anajuhdi yakujituma,kutokatatamaa na bidii alikuaamshindi namba 2 katika mashindano ya tecno so rightnow ni miongoni mwa wasanii wakike wataotuwakilishaa vema na pia ana company yake ya ushonaji mitupio yote unayomwona kavaa ya african print basi her own made.,but nandy shez is here from our list celebreties which have small bodies but have greatest things.

No comments:
Post a Comment