Baada ya wiki moja ya mapigano makali, jenerali mkuu anayeongoza
oparesheni hiyo, anasema kuwa, kwa mara nyingine tena bendera ya taifa
la Iraq inapepea katika eneo la Citadel.
Lakini Jenerali Abdulamir Yarallah, anakiri kuwa mapigano makali sasa yanashuhudiwa viungani mwa maeneo ya kaskazini mwa mji huoMwaandishi wa BBC, anasema kuwa, serikali ya Iraq, inatarajia
kutangaza ushindi wake wa mwisho wa kuutwa mji huo, katika kipindi cha
siku kadhaa zijazo.
Mji Tal Afar unatajwa kama ngome ya mwisho ya
I-S nchini Iraq, lakini wanajihadi hao wangali wakidhibiti maeneo yote
mawili ya mpakani, kati ya Iraq na Syria, na maeneo ya Hawija -- mji
ulioko kati ya Mosul na mji mkuu wa Iraqi, Baghdad.
Sunday 27 August 2017
Jeshi la Iraq lakabiliana vikali na IS mjini Tal Afar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
olger tz ni blog ya kuhusu habari zote za ulimwenguni hapa utaelimika utaburudika na kunufaika na mambo mbalimbali ! ungana nasi kwa habari za kitaifa,kimataifa ,michezo bila ya kusahau habari za wasanii ,visa na mikasa na kadharika!!
No comments:
Post a Comment