Timu ya yanga imelazimishwa kutoka sare baina lipuli FC kutoka iringa mchezo ulikua mgumu kwani yanga walibanwa na lipuli katika mchezo wa kwanza dakika45 zikaisha na kwenda break huku wakiwa sare na kipindi cha 2 yanga washindwa kufanya maajabu katika nyavu za lipuli mpaka dakik 90 filimbiii pyeee ilo pigwa na refa alosimamia mchezo uwo kuhalalisha mchezoo uwo kwishaa na kua sare kwa matokeo ya yanga 1 vs lipuli 1.
na kuwafanya mashabiki yanga wabaki na maumivu katika ligii kuu ya vodacom
Sunday 27 August 2017
Yanga yashindwa kutamba zidi ya Lipuli FC baada kutoka sare ya1-1
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
olger tz ni blog ya kuhusu habari zote za ulimwenguni hapa utaelimika utaburudika na kunufaika na mambo mbalimbali ! ungana nasi kwa habari za kitaifa,kimataifa ,michezo bila ya kusahau habari za wasanii ,visa na mikasa na kadharika!!
No comments:
Post a Comment