Katika kampeni za kugombea urais nchini Kenya.LOWASSA na CHADEMA
walitaka kutumia tetesi zilizokuwepo kuwa Magufuli anamuunga mkono Raila Odinga.
Hivyo nao katika kulipiza uchungu wa kushindwa uchaguzi wakasema
WATAAMUUNGA mkono Uhuru Kenyatta ili Magufuli asikie naye uchungu.
Lakini cha kushangaza ni kuwa Rais Magufuli AMETUMA haraka salamu za
PONGEZI kwa rais Kenyatta kwa KUCHAGULIWA tena kwa MUHULA wa pili wa
utawala wake. Mara tu zilipotangazwa.
Na hivyo KUSAMBARATISHA KABISA mbinu za KUNGANISHA kati ya Serikali ya
Tanzania na Kenya. Huku akiwaacha Chadema na Lowassa WAKISHANGAA wasijue
nini cha kufanya.
Ikikumbukwa Lowassa alitoa waziwazi kauli yake na chama chake kuwa
kinamuunga mkono Kenyatta(.....) NIA kubwa ilikuwa ni kwamba Rais
Magufuli aonekane kuwa HAMPENDI Uhuru Kenyatta. Na pia aonekane kama ni
Kiongozi asiyejua mambo ya
Utawala,
Prokali na
Diplomasia.
Lakini kwa HEKIMA na USHAURI aliopata akaamua kumpongeza Uhuru kenyatta
HARAKA sana na kuwaacha CHADEMA na Lowassa wakishangaa tu wasijue nini
cha kufanya.
Maana walikuwa wakifikiri Rais Magufuli ANGEJIKOKOTA kwa muda mrefu KUMPONGEZA Kenyatta katika ushindi wake.
Rais Magufuli aliangalia picha kubwa kati ya URAFIKI na MASLAHI ya NCHI.
Na akachagua MASLAHI ya nchi/National Interests badala ya URAFIKI.
kwa Hilo tunampongeza sana.
ITABIDI basi Lowassa and Co. KURUDI kwenye drawing table/ Meza ya
KUCHOREA maana MCHORO wao Magufuli AMEUVURUGA na sasa ni HISTORIA.
Hongera Magufuli kwa Hehima hiyo
Thursday 17 August 2017
Magufuli AVURUGA MCHORO wa Lowassa na Chadema!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
olger tz ni blog ya kuhusu habari zote za ulimwenguni hapa utaelimika utaburudika na kunufaika na mambo mbalimbali ! ungana nasi kwa habari za kitaifa,kimataifa ,michezo bila ya kusahau habari za wasanii ,visa na mikasa na kadharika!!
No comments:
Post a Comment