Mamia kwa maelfu ya watu wamekatikiwa na minara ya nguvu ya umeme.
Kufikia
sasa kifo cha mtu mmoja tu kimethibitishwa kutokea katika mji wa
Rockport, huku wakuu wakionya kuwepo kwa mafuriko zaidi ya maji,Zaidi ya wafungwa 4,500 katika gereza moja kusini mwa Houston
wamehamishiwa hadi gereza lingine mashariki mwa Texas kwa sababu ya
kuongezeka
kwa maji ya mto Brazos ulioko karibu na eneo hilo.
Juhudi za uokoaji zinaendelea huku zikikatatizwa na upepo mkali.
Saturday 26 August 2017
marekani yakumbwa na mafuriko mabaya haijawai kutokea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
olger tz ni blog ya kuhusu habari zote za ulimwenguni hapa utaelimika utaburudika na kunufaika na mambo mbalimbali ! ungana nasi kwa habari za kitaifa,kimataifa ,michezo bila ya kusahau habari za wasanii ,visa na mikasa na kadharika!!
No comments:
Post a Comment