mjue staa wa Arsenal aliyehama timu leo - Olgertz
TANGAZA NASI HAPA

Breaking News

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA

Wednesday 30 August 2017

mjue staa wa Arsenal aliyehama timu leo

Huyu Hapa Staa wa Arsenali Aliyehama Timu Hiyo Leo


Wakati mashabiki wa Arsenal wakiendelea kujiuliza kuhusiana na hatma ya staa wao Alex Sanchez kama ataondoka au la, huku Chelsea wakiwa wameafikiana bei na Arsenal kuhusu kumsajili Alex Chamberlain kwa dau linalotajwa kufikia pound milioni 35.

Leo August 30 2017 beki wao Kieran Gibbs aliyecheza kwa mismu kumi ndani ya club ya Arsenal ameuzwa kwa pound milioni 7 kutoka Arsenal na kujiunga na West Bromwich Albion, beki huyo amejiunga na West Bromwich Albion kwa mkataba wa miaka minne.

Kieran Gibbs anaondoka Arsenal baada ya kucheza timu ya wakubwa kwa miaka kumi toka apandishwe mwaka 2007 kutoka timu za Arsenal ya vijana, Gibss hadi anaondoka Arsenal ameshinda mataji matatu ya FA, Community Shield mawili na amefunga jumla ya magoli 6 katika mechi 230 alizoichezea Arsenal.

No comments:

Post a Comment