Msuva,chirwa na Deus Kaseke watolewa tamko na TFF - Olgertz
TANGAZA NASI HAPA

Breaking News

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA

Thursday 31 August 2017

Msuva,chirwa na Deus Kaseke watolewa tamko na TFF

Image result for Simon Msuva p 
 Picha Simon Msuva

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemkuta na makosa ya utovu wa nidhamu aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga anayekipiga nchini Morocco, Simon Msuva ambaye imempa onyo kali la barua.
Mbali na Msuva, wengine waliokuwa wakijadiliwa na kamati hiyo kwa utovu wa nidha kwenye michezo ya mwisho ya Ligi Kuu Tanzania Bara ni Obrey Chirwa (Yanga) na Deus Kaseke (Yanga) ambao wamesamehewa.Image result for Deus KasekeDeus Kaseke na picha inayofuata ni Obey chirwaImage result for Obrey Chirwa

No comments:

Post a Comment