Naona sasa hivi utandawazi umekuwa kwa kasi sana kichanga hakija fikisha
hata siku 7(wiki moja) kinaanza kutembezwa kwenye mitaa,hili nimeliona
kwa mrembo Faiza Ally.
mtoto akiw bado ajamaliza arubaini ila mama asiye isha vihoja kaamua kujiachia n mwanae mhhh mana ata wakina kim kardashian upumzkaga kipndi hiki
Thursday 10 August 2017
picha za faiza Ally akizurura na kichanga chake mchana kweupeee?!
Tags
# habari za wasanii
Share This
About Unknown
habari za wasanii
Labels:
habari za wasanii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
olger tz ni blog ya kuhusu habari zote za ulimwenguni hapa utaelimika utaburudika na kunufaika na mambo mbalimbali ! ungana nasi kwa habari za kitaifa,kimataifa ,michezo bila ya kusahau habari za wasanii ,visa na mikasa na kadharika!!
No comments:
Post a Comment