ulishwai kuona muhuri wa freemasons??? - Olgertz
TANGAZA NASI HAPA

Breaking News

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA

Sunday 6 August 2017

ulishwai kuona muhuri wa freemasons???

muhur unao daiwa kua ni wa fremasons
Kwa wale wenzangu na mie mlio kuwa mkisikiliza na kufuatilia kipindi cha Njia Panda kinacho rushwa na Clouds FM kwa takriban Jumapili 3 mfululizo kuhusu story ya bwana Samwel Tenga na issue yake ya FREEMASON basi pichani ndo ule muhuri wa moto ambao Samwel anadai ni alama kubwa aliyopigwa katika mgu wake wa kushoto kumtambulisha kwamba ni mwanachama wa FREEMASON, ni alama kama muhuri, iliyoambatana na KIAPO ambapo popote atakapokwenda atatambulika, amesema kwa sasa ndio inamsumbua sana kwa sababu chuma kilichotumika kumuwekea kimevunja mfupa, na hii aliifanya huko Afrika Kusini.

Msikose kipindi cha AMPLIFAYA kesho Jumatatu 19 March 2012 ambapo bwana  Samwel atafunguka na kuongelea baadhi ya watu maarufu wa Bongo ambao anadai alikutana nao alipo kwende kwenye Ukumbi wa FREEMASON uliopo Posta jijini Dar es salaam

Source : Millard ayo

No comments:

Post a Comment