JPM Leo anatarajia Kupokea Ripoti ya uchunguzi wa madini ya Tanzanite na Almasi - Olgertz
TANGAZA NASI HAPA

Breaking News

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA

Wednesday 6 September 2017

JPM Leo anatarajia Kupokea Ripoti ya uchunguzi wa madini ya Tanzanite na Almasi

Image result for rais dkt. john magufuli picha na kassim majaliwa 


Rais Dkt. John Magufuli Leo Septemba 7 anatarajia kupokea taarifa ya uchunguzi ya madini ya Tanzanite na Almasi kutoka kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Ripoti hiyo imewasilishwa na Kamati ya Bunge iliyoundwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai kuchunguza biashara ya madini ya Almasi na Tanzanite ambayo imesomwa leo na mwenyekiti wa kamati hiyo, Mussa Zungu na kukabidhiwa kwa Spika wa Bunge Job Ndugai ambaye naye ameikabidhi kwa Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment