Mungu mkubwa Mh Tundu Lissu Ametoka Salama Salmini Katika Chumba cha Upasuaji Jioni hii - Olgertz
TANGAZA NASI HAPA

Breaking News

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA

Friday 8 September 2017

Mungu mkubwa Mh Tundu Lissu Ametoka Salama Salmini Katika Chumba cha Upasuaji Jioni hii

Taarifa zilizotufikia kutoka Nairobi Kenya kuhusiana na hali ya mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa jimbo la Singida Mashariki Tundu Lissu kuhusu hali yake baada ya kufanyiwa upasuaji ni kuwa ametolewa katika chumba cha upasuaji na sasa yupo ICU kwa uangalizi.
Tundu Lissu


 New%252BDocument

Mh Tundu Lissu ametolewa salama katika chumba cha upasuaji baada ya Masaa 7 tangu saa nne asubuhi hadi sasa saa kumi na Moja jioni na upasuaji umefanyika kwa mafanikio hivyo yupo Executive ICU kwa uangalizi wa karibu zaidi
Tutaendelea kuwajuza. Na tunawahakikishia kuwa madaktari wametueleza hakuna tishio lolote kiafya yuko macho na fahamu zote na hii ndio ilikuwa hatua ngumu na Mungu ametupitisha hivyo tuendelee kumuombea apone haraka
Hemedi Ali
Mkuu wa idara ya Uenezi CHADEMA.
Nairobi hospital

No comments:

Post a Comment