Picha : Za Waandamanaji waliokesha kupinga utawala wa Gnassingbe Nchini Togo - Olgertz
TANGAZA NASI HAPA

Breaking News

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA

Friday 8 September 2017

Picha : Za Waandamanaji waliokesha kupinga utawala wa Gnassingbe Nchini Togo

Waandamanaji washinda usiku kucha mitaani kupinga utawala wa Gnassingbe TogoWaandamanaji washinda usiku kucha mitaani kupinga utawala wa Gnassingbe Togo
Vyombo vya habari vimekuwa vikichapisha picha za waandamanaji wakilala barabarani usiku
 Vikosi vya usalama nchini Togo vimerusha gesi ya kutoa machozi mapema leo, kutawanya mamia ya waandamaji wanaoipinga seikali walioshinda usiku kucha mjini Lome.Waandamanaji washinda usiku kucha mitaani kupinga utawala wa Gnassingbe TogoPolisi walichukua hatua ya maandamano ya nchi nzima ya saa 48 ya kutaka kumalizika kwa utawala wa miaka 50 wa familia ya Gnassingbe

Hakuna taaraifa yoyote ya majeruhi au maafa.
Maandamano yaliendelea licha ya Rais Faure Gnassingbe, kuahidi kurejesha sheria ya kutaka rais ahudumu kwa mihula miwili pekee nchini humo
 Mamlaka zimehamrisha kuzimwa kwa mitandao kwa muda wa siku mbili kama njia ya kukabiliana na maandamano hayo

No comments:

Post a Comment