Rais wa TFF Amteua Msafiri Mgoyi Kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu - Olgertz
TANGAZA NASI HAPA

Breaking News

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA

Wednesday 6 September 2017

Rais wa TFF Amteua Msafiri Mgoyi Kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu


Rais wa TFF Amteua Msafiri Mgoyi Kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu
                                                    Pichani Rais wa TFF, Wallace Karia

Rais wa TFF, Wallace Karia ameteua Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu Bara ambayo itakuwa inachagua wachezaji bora wa mwezi, bao bora, mwamuzi bora, kocha, kipa bora na mchezaji bora wa msimu.

MWENYEKITI
Msafiri Mgoyi

Makamu Mwenyekiti
– Almas Kasongo

KATIBU MKUU
-Amiri Mhando

WAJUMBE
Saleh Ally
Patrick Kahemele
Kenny Mwaisabula
Ibrahim Masoud
Fatma Likwata
Gift Macha
Said George
Zena Chande

No comments:

Post a Comment